Only You - Marioo

Only You

Marioo

00:00

03:52

Song Introduction

Hakuna taarifa zinazohusiana na wimbo huu kwa sasa.

Similar recommendations

Lyric

Aaah

Aaah aaaah

Ikitokea sijalala nimekosa usingizi hata ham ya kula sina

Ikitokea nna amani moyoni nna amani mpaka ham ya kula sina

Talk to me my love talk your love medicine to me yani dawa

You are the only one for me we ndo tamu yangu

Me chochote we niambie ni sawa (sawa)

Vitu vyote vizuri kwenye dunia

Wabaki navyo waniachie wewe my wangu (my wangu)

Wapo wengi wazuri kwenye hii dunia

Ila siwataki uliye kwenye moyo wangu

Only you only you only you only you

We ndo nakupenda (only you)

Hata waseme umeniroga kwangu mi sioni mbaya

Vile nimepagawa kwako we kama umeniroga

Acha waseme mi muoga bado sioni mbayaa

Nahofia bila wee baby umeniroga

Oooh mama moyo wangu mtekee

Usiniachee mpweke utaniumiza

Oooh mama moyo wangu mtekee

Usiniache mpweke utaniumiza

Vitu vyote vizuri kwenye dunia wabaki navyo

Waniachie wewe my wangu wako Wengi waazuri kwenye hii dunia

Ila siwataki uliye ndani ya moyo wangu

Only you only you only you only you

We ndo nakupenda (only you)

- It's already the end -