Sing - Marioo

Sing

Marioo

00:00

03:47

Song Introduction

Currently, there is no information available about this song.

Similar recommendations

Lyric

S2Kizzy Baby

Moyo kwako umekaa-kaa-kaa oweoh

Kila ukidunda paa-paa-paa oweoh

We ndo naekuwazaga-ga-ga oweoh

Waniwezaga oweoh

Usifanye njia kwamba umenipitia,utaniumiza dear

Nami mwanadamu mwenye moyo na majonzi pia

Si unasikia,kulialia ndo nnachokihofia

Kama ushanigonga basi nionee huruma,usiongeze gear

Oh nanana

Uwepo wako mi mwenzako naenjoy

Oh nana

Yani kwako nyang'anyang'a nipo hoi

Oh nanana

Mi kwako sisemi,sikohoi

Oh nanana

Si unajua moyo

Moyo wangu kwako umekaa-kaa-kaaa oweoh

Kila ukidunda paa-paa-paa oweoh

We ndo naekuwazaga-ga-ga oweoh

Waniwezaga

Ah you dey make me sing

Baby Ah

Aaaah Aaaaaah

Aaah

Aaaah Aaaaaah

Baby Ah

Aaaah Aaaaaah

Aaaah Aaaaah

Baby you dey make me sing

Aaaah Oohh Aaah

Yani mpaka ladha zao za zamani nimesahau

Mesahau

Sura zao za zamani nasahau

Nasahau

Maana nikisikia kuhusu upendo

Nakuwaza wewe tu mahabuba

Na,nikitakaga upendo

Nawaza lako tu,huba

Na tukikwenda kwenye tendo

Unanifikishaga mpaka Cuba

Unakabaga uachi pengo

Si unajua moyo

Moyo wangu kwako umekaa-kaa-kaaa oweoh

Kila ukidunda paa-paa-paa oweoh

We ndo naekuwazaga-ga-ga oweoh

Waniwezaga

Ah you dey make me sing

Baby Ah

Aaaah Aaaaaah

Aaah

Aaaah Aaaaaah

Baby Ah

Aaaah Aaaaaah

Aaaah Aaaaah

Ona naimba

Baby you dey make me sing

- It's already the end -