You Better Go - Harmonize

You Better Go

Harmonize

00:00

03:19

Song Introduction

**You Better Go** ni wimbo kutoka kwa Harmonize, msanii maarufu wa muziki wa Bongo Flava kutoka Tanzania. Wimbo huu unaonesha uwezo wake wa kipekee katika kuunganisha midundo ya kisasa na maneno yenye hisia, na umevutia mashabiki wengi katika vipindi vya hivi karibuni. "You Better Go" imepata sifa nzuri kutokana na muundo wake mzuri na urembo wa sauti ya Harmonize, ikiongeza umaarufu wake zaidi katika tasnia ya muziki ya Afrika Mashariki.

Similar recommendations

Lyric

Konde boy, call me number one

(It's Cukie Dady)

Mmh, baby your eyes on my phone

Yani utadhani body langu sexy, sexy hulioni

Yeah, always on my phone

Unatazama nani anae nitext text ajabu humuoni

You better know

Upendo wangu umeugeuza fimbo

Haya ni mapenzi sio ulimbo

Matusi yamekuwa wimbo hadi namiss kuwa single

Moyo unapenda amani kwanza

Kisha vitu vya thamani why?

Humalizi ukianza ka' tuko mahakamani

You better go (you better go)

Baby, I'll let you go (rumba)

You better go, I'll let you go

You better go, aah, I'll let you go (sijakupenda unitende)

You better go, I'll let you go (uende ama niende)

You better go, mmh, I'll let you go

(Hadi namiss kuwa single)

Yeah, mwenzenu nakichwa cha nyoka siuwezi mzigo wa mawazo

Ninacho hofia meno yatanitoka nguvu za kusukumana sinazo

Nani kakuchoma mkuki? Mbona damu zinanivujia mimi

Na kukucheat sikumbuki baby, utaniamini lini?

Furaha imepotea, kila kitu kwako nakosea

Ooh, uh, kujitetea hadi nishaanza kuzoea

Moyo unapenda amani kwanza

Kisha vitu vya thamani why?

Humalizi ukianza ka' tuko mahakamani

You better go (you better go)

Baby, I'll let you go (rumba)

You better go, I'll let you go

You better go, aah, I'll let you go (uh, sijakupenda unitende)

You better go, I'll let you go (uende ama niende)

You better go, mmh, I'll let you go

(Hadi namiss kuwa single)

Ah-ah, ah, mm-mm, ah-ah

It's Konde Boy, call me number one, yeah

Konde Music Worldwide

(The Mix Killer)

- It's already the end -