Nenda - Mac Voice

Nenda

Mac Voice

00:00

04:31

Song Introduction

"Hajakuwa na habari zinazohusiana na wimbo huu kwa sasa."

Similar recommendations

Lyric

(Ayolizer)

Mmmh siri ya mwezi

Siri ya nyota, siri ya angani

Siri ya njozi usingizi

Siri ya kitandani

Ila siri ya penzi, siri ya moyo

Siri ya nani?

Siri ya chozi ni maumivu ndani kwa ndani

Mapenzi niliyaanzisha yakanifurahisha

Yakanibadilisha jamani

Na sio tu kumridhisha

Nikamdhaminisha, nikamtamulisha nyumbani

Sasa leo yamekwisha yananidhalilisha

Yananiaibisha hadharani

Ila yote ni maisha, japo nahuzunika

Eeh wa kuninyamazisha ni nani?

Sijuti kukufahamu, ila najuta kukuamini

Kasuku ndege wangu leo umekuwa bundi

Pokea zangu salamu, bado sijui nitapona lini?

Umevunja moyo yangu, we ndo ulikuwa gundi

Ile siku unafungasha mabegi

Ulidondosha picha yako dondo

Ndo naypjilazia kwa bedi

Aki ya Mungu umenipiga zongo

Naomba msalimie shemeji

Aki ya nani amepata chombo

Na kama ukiskia nimededi

Jua ni mawazo msongo

Nenda, salama nenda

Nenda, salama nenda

Nenda, salama nenda

Nenda, salama nenda

Nikiwa na marafiki kwenye sura naongopa

Ila moyo unasota

Nikiwa peke yangu siwezi

Chozi linanidondoka

Nahisi kama naota

Hivi kweli umeondoka

Yanautesa moyo mapenzi

Mpaka kupenda naogopa

Umesema hutaki tena kuiona sura yangu

Kwenye simu umefuta namba zangu

Ila jibu lipo kwa Mola wangu

Mi nasubiri

Kila baya unasema ukitaja jina langu

Umesahau yote mazuri yangu

Basi nilindie madhaifu yangu

Unisitiri

Sijuti kukufahamu, ila najuta kukuamini

Kasuku ndege wangu leo umekuwa bundi

Pokea zangu salamu, bado sijui nitapona lini?

Umevunja moyo yangu, we ndo ulikuwa gundi

Ile siku unafungasha mabegi

Ulidondosha picha yako dondo

Ndo naypjilazia kwa bedi

Aki ya Mungu umenipiga zongo

Naomba msalimie shemeji

Aki ya nani amepata chombo

Na kama ukiskia nimededi

Jua ni mawazo msongo

Nenda, salama nenda

Nenda, salama nenda

Nenda, salama nenda

Nenda, salama nenda

(Nenda salama, oooh)

Mwenzako naogopa, ogopa iyeaaaaah

Kila baya unasema ukitaja jina langu

Umesahau yote mazuri yangu

Basi nilindie madhaifu yangu

Unisitiri

(Kamix Lizer)

- It's already the end -