Ukimuona - Diamond Platnumz

Ukimuona

Diamond Platnumz

00:00

03:54

Song Introduction

"Ukimuona" ni wimbo maarufu wa msanii wa Tanzania, Diamond Platnumz. Wimbo huu unachanganya midundo ya kisasa na maneno ya kuvutia yanayohusu upendo na uhusiano. Baada ya kutolewa, "Ukimuona" imevutia wengi kwa sauti yake ya kipekee na uandishi mzuri, ikiimarisha umaarufu wa Diamond Platnumz katika muziki wa Kiafrika na ulimwengu. Wimbo huu pia umepelekea maonyesho mengi na kushirikiana na wasanii wengine, na kuonyesha uwezo wa Diamond Platnumz kuleta mabadiliko katika tasnia ya muziki.

Similar recommendations

Lyric

Mhh mhh

Mungu aliumba Dunia mapenzi tangu tangu

Yashanipiga sasa sinabudi nielewe

Siwezi kung'ang'ania huenda sio fungu langu

Japo ni shida ila nitabaki mwenyewe

Oh, ila mpe shukrani kwa kuniumiza Suraya

Mwambie mi bado maututi, nauguza kidonda changu

Na asisikie hasirani, mwambie mapenzi mabaya

Hata angali hai Khairuki asingetibu gonjwa langu

Kutwa nzima moyo unanidunda dunda (dunda)

Sina amani nasanga rumba (rumba)

Unanidunda dunda

Sema chine tembee moyo oh

Unanidunda dunda (mami moyo)

Sina amani nnasaga rumba (mimi)

Unanidunda dunda

Ehh ukimwona

Ukimwona, ukimwona

Ukimwona, ukimwona

Ukimwona

Nenda mwambie marafiki, marafiki wabaya

Tena wengi waongo wala wasimdanganye

Oya ni mashoga, rafiki; marafiki wabaya ohh mhh

Tatizo mi bado, nilipoteleza nikakosa sipajui

Mpaka akafunga virago na akaamua kuondoka sitambui

Ubaya kinachoniumiza maneno neno maneno oh

Mara kwa ndugu rafiki kwanini anawapa misemo oh

Najaribu papasa labda kwa macho hataona chochote

Ila ndo kutwa mikasa na nnazidi kuanguka niokote

Kutwa nzima moyo unanidunda dunda (dunda)

Sina amani nasanga rumba (rumba)

Unanidunda dunda

Sema chine tembee moyo oh

Unanidunda dunda (mami moyo)

Sina amani nnasaga rumba (oh mimi)

Unanidunda dunda

Ehh ukimwona

Ukimwona, ukimwona

Ukimwona, ukimwona

Ukimwona

- It's already the end -